![](https://sheikh.co.tz/storage/article/image/J49hgVCjthozdD9gfswKsQjLrwDAqJEqqIuQMxPN_image.jpg)
![](https://sheikh.co.tz/storage/article/image/ey3AgV5t5X9aDJh6FT4gitPAwBCH8i49QCbIIRoQ_image.jpg)
![](https://sheikh.co.tz/storage/video/image/3qvViTRtANqcSsv9KpWGJpf2dgRMl8lKNA8cJ1cQ_image.jpg)
JE, KHITMA INAMFIKIA MAITI? | SHEIKH ABDILAHI NASSIR | SEHEMU YA KWANZA
Katika jamii za Kiislamu kumekuwa na maswali juu ya habari za usomaji wa khitma!
Je, historia inasema nini kuhusu habari za khitma? | Je, kuna umuhimu gani wa kusoma khitma | Je khitma inamfikia maiiti? | Kwa nini kumekuwa na ikhtilafu juu ya habari za khitma?
Haya ni miongoni mwa maswali ambayo marhoum sheikh Abdilahi Nassir ameyatolea hoja.
- Jun 07, 2024
![](https://sheikh.co.tz/storage/video/image/A3n2NPAAGT19xsmWmqXVUjHgHqERRnq4B9tPrvOQ_image.jpg)
JE, KHITMA INAMFIKIA MAITI? | SHEIKH ABDILAHI NASSIR | SEHEMU YA PILI
Katika jamii za Kiislamu kumekuwa na maswali juu ya habari za usomaji wa khitma!
Je, historia inasema nini kuhusu habari za khitma? | Je, kuna umuhimu gani wa kusoma khitma | Je khitma inamfikia maiiti? | Kwa nini kumekuwa na ikhtilafu juu ya habari za khitma?
Haya ni miongoni mwa maswali ambayo marhoum sheikh Abdilahi Nassir ameyatolea hoja.
- Jun 07, 2024
![](https://sheikh.co.tz/storage/video/image/Zf7wtnrewzkBsg3KbchOkbGxfmDQSjA9fxo2s4O0_image.jpg)
MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA WASIA | SHEIKH ABDILAHI NASSIR.
Habari za wasia ni miongoni mwa mambo muhimu kwani pamoja na mambo mengine zinagusa eneo la mirathi ambapo aghalabu (suala la mirathi) limekuwa lenye kusumbua miongoni mwa jamii za Kiislamu. Je, Uislamu unalitazama vipi suala la wasia?
Sheikh Abdilahi Nassir (r.a) alitoa hoja juu ya suala hili.
- Jun 08, 2024