S H E I K H

l o a d i n g

Video

MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA WASIA | SHEIKH ABDILAHI NASSIR.


Habari za wasia ni miongoni mwa mambo muhimu kwani pamoja na mambo mengine zinagusa eneo la mirathi ambapo aghalabu (suala la mirathi) limekuwa lenye kusumbua miongoni mwa jamii za Kiislamu. Je, Uislamu unalitazama vipi suala la wasia?


Sheikh Abdilahi Nassir (r.a) alitoa hoja juu ya suala hili.


Mada hii ilitolewa tarehe 10 Machi, 1993.