S H E I K H

l o a d i n g

Book

SHIA NA HADITHI

Hadithi, ni moja kati ya mambo muhimu ambayo yanatoa muongozo kwenye mambo mbalimbali ndani ya Uislamu.


Hata hivyo, kumekuwa na tuhuma zimekuwa zikielekezwa kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia Ithana-Asheri juu ya kuwa na mtazamo tofauti juu ya namna wanavyozitazama hadithi.


Sheikh Abdilahi Nassir alipata fursa ya kuandika kitabu 'Shia na Hadithi' akijibu na kutolea hoja juu ya suala hili.

more Book
shia quran abdilahinassir

SHIA NA QURAN

maulid bida haramu abdilahinassir

MAULID SI BIDA, SI HARAMU