S H E I K H

l o a d i n g

Book

MAULID SI BIDA, SI HARAMU

Kumekuwa na utamaduni wa muda mrefu kwa jamii za Kiislamu kufanya hafla za Maulid au Sherehe za mazazi ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Aghalabu sherehe hizo huwajumuisha waislamu bila kujali tofauti zao za kiitikadi na kumsifu Mtume kwa namna mbalimbali.


Hata hivyo, katika jamii hizo za Kiislamu kumekuwa na mtazamo mseto juu ya uendeshaji wa maulid hizo. Wapo katika Waislamu wanaosema kuwa Maulid ni bida'a na hata kufikia kuiharamisha lakini pia wapo ambao wanatilia mkazo juu ya uendeshaji wa hafla hizo na kila undi likiwa na hoja zake.


Sheikh Abdilahi Nassir alipata fursa ya kujibu na kueleza hoja zake juu ya suala hili la Maulid.

more Book
shia hadith abdilahinassir

SHIA NA HADITHI

shia quran abdilahinassir

SHIA NA QURAN