S H E I K H

l o a d i n g

Book

SHIA NA QURAN

Uislamu unaundwa na viungo kadhaa, miongoni mwavyo ni kuamini kwamba hapana Mola apasaye kuabudiwa isipokuwa Allah (S.W.T) na Muhammad (s.a.w.w) ni mtume wake mwisho miongoni mwa mitume walioagizwa kutulingania.


Hata hivyo, ni jambo la wazi kwamba sasa Uislamu umegawanyika kiitikadi hususani kwenye eneo la uongozi baada ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Hali imepelekea kila kundi katika Uislamu kujiona kuwa ni sahihi zaidi kuliko lingine na ndani yake kukatokea kushutumiana kwenye mambo mbalimbali. Kwa mfano, kumekuwa na hoja kutoka upande mmoja ukidai kwamba wafuasi wa Maimamu 12 (Shia Ithna-Asheri) wana Qur'an (msahafu) wao tofauti na unaotumiwa na jamii nyingine za Kiislamu.


Je, hoja hiyo ina ukweli kiasi gani?, Sheikh Abdilahi Nassir alipata fursa ya kuandika kitabu 'Shia na Qur'an' akijibu na kutolea hoja juu ya suala hili.

more Book
shia hadith abdilahinassir

SHIA NA HADITHI

maulid bida haramu abdilahinassir

MAULID SI BIDA, SI HARAMU