S H E I K H

l o a d i n g

Video

MAANA YA HIJA | SHEIKH ABDILAHI NASSIR


Ibada yaHija ni moja ya nguzo muhimu katika Uislamu ambapo, kila Muislamu anatarajiwa kuhiji angalau mara moja katika maisha yake ikiwa ana uwezo.


Hata hivyo, uzoefu unaonesha kumekuwa na mitazamo tofauti juu ya namna watu wanavyoichukulia ibada hiyo. Kwa mfano, wapo wanaichukulia ibada hiyo katika mtazamo wa kiroho tu lakini pia wapo ambao wanaitazama ibada ya hija kama fursa ya kupitisha na kuendesha ajenda nyingine kwa maslahi mapana ya Uislamu...


Sheikh Abdilahi Nassir, alitoa hoja zake juu ya namna watu hususani Waislamu wanavyopaswa kuichukulia ibada ya hija.


Hotuba hii ilitolewa, 07/02/1995